1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kwanini Wajerumani hujifunza kuhusu miji ya kigeni?

Rachel Nduati
2 Mei 2024

Wajerumani wanajivunia miji yao, ambayo aghalabu husifiwa kwa uvumbuzi na kuwa rafiki kwa mazingira. Lakini hilo halijawavimbisha kichwa. Wako Wajerumani wanaovutiwa na kujifunza kuhusu miji mingine duniani inavyotatua changamoto kwa wakaazi wake. Mfano ni mji mkuu wa Rwanda, Kigali. Rachel Nduati alishuhudia hilo hivi karibuni. Tizama video hii.

https://p.dw.com/p/4fQWK